Download hapa majina ya walimu waliopangiwa vituo vya kazi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo ametangaza ajira mpya 3,033 za walimu wa shule mbalimbali nchini za msingi na Sekondari ambao watakwenda kujaza nafasi za walimu waliobainika kuwa na vyeti feki.
Image result for selemani jafo kutangaza ajira mpya za walimu
Jafo alisema kuwa majina ya walimu hao wapya 3,033 yatatangazwa leo na kupangiwa vituo vya kazi, walimu 266 watakuwa ni walimu wa shule za sekondari na Walimu 2,767 watakuwa walimu wa shule ya msingi.
Aidha Jafo amewataka walimu hao wapya ambao wamechaguliwa kuripoti kwa Wakurugenzi wa halmshauri husika ambazo watakuwa wamepangia kuanzia Disemba 27, 2018 hadi Januari 7, 2018. 
Mbali na hilo Selemani Jafo amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri ambazio walimu hao wataripoti kuwapokea na kuzingatia taratibu na kanuni zote za utumishi wa Umma na baadaye kutoa taarifa ya kuripoti kwao.
Orodha ya Majina ya walimu waliopangiwa vituo.pdf  DOWNLOAD
Share:

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

  • ()
Powered by Blogger.

Yaliyojiri leo

Tanzania yaanza majaribio dawa kinga ya Ukimwi

LIKE OUR FACEBOOK PAGE

Contact us

Name

Email *

Message *