Inasikitisha! Mrembo aitwaye Asha Ramadhan, mkazi wa Sinza kwa Remmy jijini Dar es Salaam, miezi michache iliyopita alijeruhiwa vibaya kwa kisu na rafiki yake, Jennifer Michael katika kisa kinachoshangaza. Kwa mujibu wa Asha, chanzo cha ugomvi uliosababisha tukio hilo, ni friji ambalo Asha alimpa rafiki yake amhifadhie lakini baadaye akaamua kuliweka bond kwa mtu mwingine bila kumweleza mmiliki wa friji hilo.
Home »
» Mrembo achomwa kisu sinza jijin Dar es Salaam, kisa chake sasa balaa tupu
Mrembo achomwa kisu sinza jijin Dar es Salaam, kisa chake sasa balaa tupu
Inasikitisha! Mrembo aitwaye Asha Ramadhan, mkazi wa Sinza kwa Remmy jijini Dar es Salaam, miezi michache iliyopita alijeruhiwa vibaya kwa kisu na rafiki yake, Jennifer Michael katika kisa kinachoshangaza. Kwa mujibu wa Asha, chanzo cha ugomvi uliosababisha tukio hilo, ni friji ambalo Asha alimpa rafiki yake amhifadhie lakini baadaye akaamua kuliweka bond kwa mtu mwingine bila kumweleza mmiliki wa friji hilo.
0 comments:
Post a Comment